Mojim Lyrics
Mojim Lyrics > Americas singers > Leteipa the King > Tanga > Tanga

Leteipa the King



Lyrics
Album list

Leteipa the King

Tanga

#INTRO
Bibli Bam Bam Bam Bam .

#VERSE
Nilipokwona Jana,
ukipita umevutia,
Nilibaki nimeduwaaa
Umbo lako mamii,
Linanipa kiungulia,
Ungewa nguo ningekuvaaa
Nyuma una bonge la ndoo,
mum shikamo,
Napenda kucheki ukinyonga hiyo,..
Ukitembea chwani chwani Masoo
I need to know
Umetosheaje kwenye toja hiyo

#HOOK
Sura shepu na tabia,
na nutritious ka Dania,
Na ingewa sufuria
Ningekuwa mwiko
Ulivyoshona jumuia,
Kitoweo kwa sinia,
Ukinipa ntabugia,
Kama komba mwiko

#CHORUS
(Tenga)
Wamlabez wamnyonyez,
Wine Kama Sio yako umepewa
(Tenga)
Wine pande. Wine shiothee,
Ka unahepa msako umelewa
(Tenga)
Usiwe na aibu,
tingisha wapate kitu ya kupost Fb
(Tenga)
Sahau masaibu,
Zikishika tufike gheto nikupe KiHB
(Tenga)
(Tenga)

#VERSE
Find more lyrics at ※ Mojim.com
Unavyosakata dansi
Mwili mpaka nafsi
Zinakufa ganzi,
Kama nyasinyasi
Zanigwara Hadi nafurahi, Ooh nafurahi
Urefu wangu was farasi,
Nitakupa banzi
Tamu ka nanasi
Moto Kama basi
Ndefu Kama ngazi ukidai, ooh ujidai
Uko hot ka solar,.
Strong ka mollar
Soft ka rollar ,yaani conc ka collar
Calm ka baller
Expe ka dollar
Sick is Ebola
Wanakupenda ka Ocholla..

#HOOK
Sura shepu na tabia,
na nutritious ka Dania,
Na ingewa sufuria
Ningekuwa mwiko
Ulivyoshona jumuia,
Kitoweo kwa sinia,
Ukinipa ntabugia,
Kama komba mwiko

Chorus:
(Tenga)
Wamlabez wamnyonyez,
Wine Kama Sio yako umepewa
(Tenga)
Wine pande. Wine shiothee,
Ka unahepa msako umelewa
(Tenga)
Usiwe na aibu,
tingisha wapate kitu ya kupost Fb
(Tenga)
Sahau masaibu,
zikishika tufike gheto nikupe KiHB
(Tenga)